G.Man
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 1,179
- 2,443
PoyeeAcha wapigwe
PoyeeAcha wapigwe
Poa poa mkuu wakati mwingine ugali tunausaka kwa tabu mpaka tunasahau zile siku za kuabuduSana tu ila tu usiwe unasubir kuombewa mkuu
Uzuri ni kwamba wanaumia kimyakimya,harafu makapuku hainanao, ndio wanaumia zaidi mpaka mapovu yanawatoka
Haina shida ndugu 'wamwabuduo Mungu halisi watamwabudu katika roho na kweli' si mpaka kwenye nyumba ya ibada, ukimaanisha moyoni inatoshaPoa poa mkuu wakati mwingine ugali tunausaka kwa tabu mpaka tunasahau zile siku za kuabudu
AaaaUsiogope mkuu, hakuna kitakachoharibika

Word!Haina shida ndugu 'wamwabuduo Mungu halisi watamwabudu katika roho na kweli' si mpaka kwenye nyumba ya ibada, ukimaanisha moyoni inatosha
....kwani uliponipiga dongo hukujua mpira ni dk. 90???Macho yako yameziba?
Matokeo si nimeweka au unaruka post TU
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Hahaha usijali mkuu nliona kama unachelewa hiviAaaa
Hiyi kaz ntafanya mwenyewe usijali
![]()
....kwani uliponipiga dongo hukujua mpira ni dk. 90???
Nimecheka sanaaaaaaaYaani magazeti yaanzishiwe jukwaa?
Yule Madenge mpuuzi![]()
.........
AaaHahaha usijali mkuu nliona kama unachelewa hivi
Aaaah
Acha waisome nambaWakongwe mapovu yanazidi kuwadondoka