Makapuku Forum

Hhahah Dada ndiyo maana nimekuambia nimekumiss mno...Ila nashukuru pia kwa nasaha zako..Na pia kwa busara za wifi yako amenisamehe kabisa kama nilivyo,,,Nampenda sana na nime-behave mno toka mida ile..
Safi sana my kaka

Mi napenda hii couple ibaki katika ubora wake siku zote
Maana ni miongoni mwa kapo za kuigwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…