manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Kweli kabisa na watu wameanza kummiss mapema kuliko ilivyodhaniwa alipokuwa madarakani..Nammiss mkwere kwa uhuru wa habari
Kweli kabisa na watu wameanza kummiss mapema kuliko ilivyodhaniwa alipokuwa madarakani..Nammiss mkwere kwa uhuru wa habari
Mkwere Si alipitisha hii sheria????Nammiss mkwere kwa uhuru wa habari
Kama kwa hili tu litakuwa ndoto za mchana lipi lingine litatekelezeka sasa mkuu?Ndoto za mchana
Kwa Hiyo mapungufu ya jpm yanahalalisha uzembe Wa mkwereKweli kabisa na watu wameanza kummiss mapema kuliko ilivyodhaniwa alipokuwa madarakani..
Ili ujuwe ubora ama udhaifu wa kitu lazima viwe viwili ili uweeze kufanya comparison..Ndiyo maana nikasema mkwere pamoja na madhaifu yake amekumbukwa mapema...Kwa Hiyo mapungufu ya jpm yanahalalisha uzembe Wa mkwere
UdiktetaKama kwa hili tu litakuwa ndoto za mchana lipi lingine litatekelezeka sasa mkuu?
Uongoz huuu, mmmmhKwa Hiyo mapungufu ya jpm yanahalalisha uzembe Wa mkwere
Uongoz huuu, mmmmh
Mkuu una ule wimbo Wa ccm....tumeipenda wenyewe...wavimbe wapasuke...wacha waisome nambaaa eee.....Udikteta
Hahhhahahahh.....Ili ujuwe ubora ama udhaifu wa kitu lazima viwe viwili ili uweeze kufanya comparison..Ndiyo maana nikasema mkwere pamoja na madhaifu yake amekumbukwa mapema...
Siwezi kuwa na wimbo huo mimi sio wa dodomaMkuu una ule wimbo Wa ccm....tumeipenda wenyewe...wavimbe wapasuke...wacha waisome nambaaa eee.....
Ccm mbele kwa mbele....
Mkuu tupo kijiweni hapa karibu sana...Habari ya wakati huu Makapuku wenzangu.
Njema kapuku..za kwako..Habari ya wakati huu Makapuku wenzangu.
Nakuwa mzito kuchangia sababu ya kulazimishwa na mtandaoAiseee
Naona unatema swagaSema kijanangu
Zaidi ya nape.
"Hili si tatizo tu la Uganda Cranes, kimsingi soka la Afrika limeshuka sana ndiyo maana hamuioni timu yoyote ya Afrika kwenye michuano ya Euro 2016 inayoendelea Ufaransa,"
Janeth Museveni, Waziri wa Elimu & Michezo Uganda akiongea katika mkutano na waandishi wa habari
![]()
kazi ipo