Najua matumizi ya PM ambacho hutakiwi ni KUSEMA ULICHOAMBIWA but kusema kuna malalamiko hapo PM siyo tatizoYaishie huko huko....ukiyaleta humu utaleta mgongano....na ugomvi....
Kama mtu anaona sio vema kusema hapa....then usilete hapa Haata nucta.
Kama kuna mtu analalamikiwa pm kamueleze pm huko...
Ukiamua kuleta hapa Basi leta full issue tujadili....
Mkuu hapa umekengeuka kabisa nimepata ukakasi sana haswa kwenye maneno yako ya awali hapo ...Ungeweza kutumia namna ingine na ujumbe ungemfikia mlengwa tena kistaarabu sana...Tusikubali kabisa kuvunja undugu na ujamaa tulioujenga kupitia hapa kwani hata members wa hapa KAPUKU tukikutana kwenye majukwaa mengine tunakuwa na ile feeling ya undugu....Na nikushauri kitu Prezda labda hata na mimi kuna mtu nimemkwaza hapa kwa namna moja au nyingine bila mimi kujua mtu huyu kwanza yapasa aniambie mimi hata kwa PM kuwa unanikwaza na sipendi 1,2,3..Akiona sisikii anaweza kureport ishu kwako..Na wewe lazima ukalie kiti na nafasi yako kwa hekima na busara iingia huko PM niambie kuna 1,2 ,3 hakika nitakuwa msikivu maana lengo hapa si kukwazana kwa namna yeyote ile ni kijiwe cha kufanya tucheke tufurahi wakati maisha ya upande mwingine yanaendelea...So please itakuwa vizuri na Member wengine waache uwoga ama unafiki nikikuuzi niambie straight forward tu ili kuepusha mpasuko hapa kijiweni..Naomba nenda PM na Jambilo mwambie 1,2,3 kuwa ni member yupi huyo amelalamika then mmalize na maisha yaendelee kama kawa ida hapa..Hivi kweli wewe ni mtu nzima ....nimechoka ukifaru wako wa masaa 24 ukiambiwa hujirekebishi ndio sababu wadada wanakimbia thread 7bu ya ukifaru wako
Mimi km Kiongozi kazi yangu kuweka mambo sawa ....sipendi kuona thread inapoteza heshima sababu ya mtu mmoja
Km huna kitu cha kupost bora ulale
Nina malalamiko mengi PM kuhusu wewe inasumbua watu
...............
Uliandika maneno mengi halafu ulianza kwa shari hivyo sikusoma yoteNlikuuliza hukuona uddnt read btn lines...
Sawa mkuu km nilikosea neno sehemu umenirekebishaMkuu hapa umekengeuka kabisa nimepata ukakasi sana haswa kwenye maneno yako ya awali hapo ...Ungeweza kutumia namna ingine na ujumbe ungemfikia mlengwa tena kistaarabu sana...Tusikubali kabisa kufanja undugu na ujamaa tulioujenga kupitia hapa kwani hata members wa hapa KAPUKU tukikutana kwenye majukwaa mengine tunakuwa na ile feeling ya undugu....Na nikushauri kitu Prezda labda hata na mimi kuna mtu nimemkwaza hapa kwa namna moja au nyingine bila mimi kujua mtu huyu kwanza yapasa aniambie mimi hata kwa PM kuwa unanikwaza na sipendi 1,2,3..Akiona sisikii anaweza kureport ishu kwako..Na wewe lazima ukalie kiti na nafasi yako kwa hekima na busara iingia huko PM niambie kuna 1,2 ,3 hakika nitakuwa msikivu maana lengo hapa si kukwazana kwa namna yeyote ile ni kijiwe cha kufanya tucheke tufarahi wakati maisha ya upande mwingine yanaendelea...So please itakuwa vizuri na Member wengine waache uwoga ama unafiki nikikuuzi niambie straight forward tu ili kuepusha mpasuko hapa kijiweni..Naomba nenda PM na Jambilo mwambie 1,2,3 kuwa ni member yupi huyo amelalamika then mmalize na maisha yaendelee kama kawa ida hapa..
Ulimuambia pm au hapa.???Usiandike maneno mengi sijasema namiliki uzi mkuu wote ni familia moja na nawapenda wote na mimi sio MUNGU .....mtu anaharibu namweleweaha na akijerekebisha maisha yanasonga
Mwambie basi ajitetee
.........
Mambo vipi mkuuHamia halotel
Mkuu simwongelei Patience wala mtu mwingineUlimuambia pm au hapa.???
Kaama ni hapa assume hajaona hebu tuambie na sisi tujue...
What is wrong with patience??? Kwa vile patience anachat na jambilo na sumbai probably we're part of it speak openly....bro...
Kuwa mpole sema
poaz,za kwako?Mambo vipi mkuu
Be cool....Mkuu hunijui tu, hawa wote ninao watania, niko nao vizuri, endelea kuniletea ujinga utaona
Huyo jamaa ameadimika kama sukariSzczesny natambua uwepo wako
Niajez....Ila wakuu mnajua maana ya ChitChat
Hivi we vile chama lako ni lipi???Super dupa Ki.la.za
Ameen.....nimekuelewa saana...Mkuu hapa umekengeuka kabisa nimepata ukakasi sana haswa kwenye maneno yako ya awali hapo ...Ungeweza kutumia namna ingine na ujumbe ungemfikia mlengwa tena kistaarabu sana...Tusikubali kabisa kuvunja undugu na ujamaa tulioujenga kupitia hapa kwani hata members wa hapa KAPUKU tukikutana kwenye majukwaa mengine tunakuwa na ile feeling ya undugu....Na nikushauri kitu Prezda labda hata na mimi kuna mtu nimemkwaza hapa kwa namna moja au nyingine bila mimi kujua mtu huyu kwanza yapasa aniambie mimi hata kwa PM kuwa unanikwaza na sipendi 1,2,3..Akiona sisikii anaweza kureport ishu kwako..Na wewe lazima ukalie kiti na nafasi yako kwa hekima na busara iingia huko PM niambie kuna 1,2 ,3 hakika nitakuwa msikivu maana lengo hapa si kukwazana kwa namna yeyote ile ni kijiwe cha kufanya tucheke tufurahi wakati maisha ya upande mwingine yanaendelea...So please itakuwa vizuri na Member wengine waache uwoga ama unafiki nikikuuzi niambie straight forward tu ili kuepusha mpasuko hapa kijiweni..Naomba nenda PM na Jambilo mwambie 1,2,3 kuwa ni member yupi huyo amelalamika then mmalize na maisha yaendelee kama kawa ida hapa..
Na mafuta ya taa nayo yameadimikaHuyo jamaa ameadimika kama sukari
Bilioni tatu labda ya Zimbabwe
Mambo mkuuHuyo jamaa ameadimika kama sukari
Dada nakumissHivi we vile chama lako ni lipi???
Naona yameishaBe cool....
Chama ukimaanisha timu?Hivi we vile chama lako ni lipi???