Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zaidi ya nape.




"Hili si tatizo tu la Uganda Cranes, kimsingi soka la Afrika limeshuka sana ndiyo maana hamuioni timu yoyote ya Afrika kwenye michuano ya Euro 2016 inayoendelea Ufaransa,"

Janeth Museveni, Waziri wa Elimu & Michezo Uganda akiongea katika mkutano na waandishi wa habari

Katisha sana,harafu ni waziri wa
Elimu
 
Taratiibu Shem langu, nawe ulitelekeza ndoa ukaenda kuzurura ona sasa wenzio watolea mijicho
Cc valentina
Shem ndugu yako Niko nae kila siku vile kaamua kuvunivunjia heshima


Nimenyanyua mikono juu

From now on nalea watoto tuuu,manuu muache azurureee akichoka atarud


Dah atakuwa ameghafilika kwa kiwango kilichotukuka..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom