Makapuku Forum

Makapuku Forum

Naukumbuka my kaka
Nashukuru sana Alhamis nilikuwa kwenye send-off moja japo nilikuwa High kimtindo lakini nilipata fursa ya kuufuatilia wimbo ule kwa kina na niligundua una ujumbe mzuri mno...Kwa wale wanaoanza uchumba...So please take your time sikiliza wimbo ule utakufanya uzidi kumpenda Shemeji yangu jambilo
 
Unaimba sauti ya nane shemeji? Maana hiyo tune imetishaa
Hahahah Shemeji hivi ulishaona umekosea kitu na kabla hujachekwa na watu wewe mwenyewe unaanza kujicheka...Ndiyo imekuwa hivyo yaani sauti hamnaga kabisa...
 
Shem wacha niwe mkweli niwe mpenzi wa Mungu..sinaga sauti ya kuimba kabisa kila nikiimba naaishiaga kukooa kooa tu kama narekebisha sauti na haiji..Wimbo tu niliouimba na watu wakanisifia ni wimbo wa Taifa..Bhaaaas
Ha ha ha ha ha ha haaa... Asante kwa kuitengeneza siku yangu shemeji... Nimecheka kwa nguvu Sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom