Lakini nadhani ana-potential fulani ndiyo maana hata wewe Shemeji ulikubali akakuoa ila baadae ukajaona ulichokiona japo nakumbuka alisema wewe ndiyo chanzo cha mtafaruku wenu..hahahah..So na dada angu Linamo bado anaendelea kuona ile potential ya pastor mpaka pale atakavyoona vingenevyo..The man is very conservative... Labda azaliwe upya shemeji, kama hakubadilika wakati akiwa mtumishi itawezekanaje kipindi hiki akiwa muumini wa Kawaida? Nampa polee Linamo
BonjourOui Papaa
Karibu ndugu..Gudmorning?Makapuku mpo??
Oooo huyu mtoto aliumbwa asubuhi, wakati muumba ananguvu zoteee, mtoto ni mkali balaaaBasi usikubali umchoke...Ukiona anaangalia angalia kushoto na kulia hakikisha hatoona image ingine yeyote isipokuwa wewe tu dada angu...Na huwa nakaa nasema asnate nyingi kwa Muumba kwa jinsi alivyotumia mda wake kukufinyanga na kukufanya mrembo sana dada angu...
Nko fitHabari ni poa mbya sana kabisa mkuu..adje ?
KijanaNko fitkaka
Dada angu huyo Shemeji ni shida ingine kabisa...u hve to handle with care..Oooo huyu mtoto aliumbwa asubuhi, wakati muumba ananguvu zoteee, mtoto ni mkali balaaa
I told you before... Mimi nilimgawa buree baada ya kuona hafai hata kuungia mchuzii..
Safi sana...Ila ongeza hiyo Byceps kidooogo..Nko fitkaka
Shem wacha niwe mkweli niwe mpenzi wa Mungu..sinaga sauti ya kuimba kabisa kila nikiimba naaishiaga kukooa kooa tu kama narekebisha sauti na haiji..Wimbo tu niliouimba na watu wakanisifia ni wimbo wa Taifa..Bhaaaas
Njema shemeji.. Warmly welcomeHabariiiii humu ndani
Sizitaki mbichi hiziThe man is very conservative... Labda azaliwe upya shemeji, kama hakubadilika wakati akiwa mtumishi itawezekanaje kipindi hiki akiwa muumini wa Kawaida? Nampa polee Linamo
Ha ha ha ha ha ha haaa... Asante kwa kuitengeneza siku yangu shemeji... Nimecheka kwa nguvu Sana
Mkuu ni baridi tu humu ndani....Habari ya kwako na shemeji yangu lizziebettie naamini hautakuwa unalia kilio cha baridi kali kama mimi..Habariiiii humu ndani
Majukumu tu ya kazi yananibana mkuu..Poa sana kapukuz.. Umepotea sanaaa
Majukumu tu ya kazi yananibana mkuu..Poa sana kapukuz.. Umepotea sanaaa