Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
kuendelea kuchart kwenye sim na mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembea na muwa kama fimbo....mda wowote unaung'ata!
Huyo mtoto mzuri pembeni yake ni nani?
kuendelea kuchart kwenye sim na mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembea na muwa kama fimbo....mda wowote unaung'ata!
Huyo mtoto mzuri pembeni yake ni nani?
Tumsubirie bas aje anijibu mwenyewe hapaKwa sasa hawezi ongea anagombana na linamo huku,
Utasubiri sana kajilaza kitandani tumeamua kuhama hotelTumsubirie bas aje anijibu mwenyewe hapa
Mzuri sana huyo patience123, ndo mana hamuishi kugombana na sumbaiView attachment 358101Sumbai na patience
Tatizo physical appearance ya Sumbai inamboa patience, natamani apate Bwana mwenye mvuto aniache nifurahie ndoa na linamoMzuri sana huyo patience123, ndo mana hamuishi kugombana na sumbai
Wanawake wa siku hizi hawana tatizo na sura ya mtu, tatizo litakuja tu kama mifuko yako imetobokaTatizo physical appearance ya Sumbai inamboa patience, natamani apate Bwana mwenye mvuto aniache nifurahie ndoa na linamo
salamu kwa Yanga
tuko poa mkuu, sijui ww?Hamjambo FAMILIA?
salamu kwa Yanga
Mkuu physical appearance ina matter kwa mwanamke anayejitambua, anayeikota ilimradi anapesa hajitambui kwani mkiwa auti au unampeleka kwa wazazi inakuwa tatizoWanawake wa siku hizi hawana tatizo na sura ya mtu, tatizo litakuja tu kama mifuko yako imetoboka
Jipeni moyo tu!!![]()
Hafungwi mtu
Poleni wazee wa dua mbaya
.........
Mkuu nipo imaraMh sumbai atakua ameteleza wap tena si alishamnyakua??
Hebu kuwa na huruma Basi na mke wangu mkuuuu...Mkuu shida Mimi nimepanda hewani, wembamba wenye mvuto plus swaga zangu hadi wanazimia

Sumbai nimepata wazo mkuu, sisi ni wanaume hebu tukae kwa akili na hawa vimwana. Hebu turudishe mshikamano wetu wa awali ili wasitugonganishe, baki na mkeo nami nibaki na linamo bhanaMkuu nipo imara
Hajui kukea huyuHahahaha lakin huwa nashangaa sana huwa haudumu nao kwa muda mrefu, kulikoni?
Nisome hapoHebu kuwa na huruma Basi na mke wangu mkuuuu...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sumbai nimepata wazo mkuu, sisi ni wanaume hebu tukae kwa akili na hawa vimwana. Hebu turudishe mshikamano wetu wa awali ili wasitugonganishe, baki na mkeo nami nibaki na linamo bhana
Jamaa anatamaa hajaridhika na linamoMzuri sana huyo patience123, ndo mana hamuishi kugombana na sumbai