Makapuku Forum

Makapuku Forum

db89aaa4c76afee35988f3e73773eafa.jpg

Hafungwi mtu
Poleni wazee wa dua mbaya
.........
We're dar young African ....
 
Sumbai nimepata wazo mkuu, sisi ni wanaume hebu tukae kwa akili na hawa vimwana. Hebu turudishe mshikamano wetu wa awali ili wasitugonganishe, baki na mkeo nami nibaki na linamo bhana
Ameen ameen ukitulia unakuwagavna akili saana dah....

Tuyamalize kuwa na huruma ya ndoa zetu changa kiroho safi tuu...
Kaa na linamo namimi na patience wangu tufanye maisha mkuuu
 
2207a8a40a90de437634b5d57abeae49.jpg

Jezi mpya ya Yanga baada ya kuingia mkataba na kampuni ya Italy itakayokuwa ikitengeza jezi ... hiyo ya njano ni ya ugenini itaanza kuvaliwa leo

Kwa leo hawajaweka nembo ya KILIMANJARO hadi wakirudi Dar
..........
 
2207a8a40a90de437634b5d57abeae49.jpg

Jezi mpya ya Yanga baada ya kuingia mkataba na kampuni ya Italy itakayokuwa ikitengeza jezi ... hiyo ya njano ni ya ugenini itaanza kuvaliwa leo

Kwa leo hawajaweka nembo ya KILIMANJARO hadi wakirudi Dar
..........
Wow..... Nataman nipate jezi mapemaa timu ya wananchi timu dume team ya inayowakilisha taifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom