sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mkuu weekend tunapata kitwanga na kuchungulia Mara chacheHivi Leo wako wapi wadau
Mkuu weekend tunapata kitwanga na kuchungulia Mara chacheHivi Leo wako wapi wadau
We're dar young African ....![]()
Hafungwi mtu
Poleni wazee wa dua mbaya
.........
3Grade ipi?
Ameen ameen ukitulia unakuwagavna akili saana dah....Sumbai nimepata wazo mkuu, sisi ni wanaume hebu tukae kwa akili na hawa vimwana. Hebu turudishe mshikamano wetu wa awali ili wasitugonganishe, baki na mkeo nami nibaki na linamo bhana
Mzima?Ameen ameen ukitulia unakuwagavna akili saana dah....
Tuyamalize kuwa na huruma ya ndoa zetu changa kiroho safi tuu...
Kaa na linamo namimi na patience wangu tufanye maisha mkuuu
Salam za tanga mussolin5, hatujajuliana hali tangu urudituko poa mkuu, sijui ww?
Nilishasema situmiagi mtumba
Namtania tu baby... Si unajua ya kale hayanuki?Waaat.....
Afazwali... Teh tehNilishasema situmiagi mtumba
Anazimika balaaMzembe kweli kazi kimtaja x wako kuliko mkeo....nna wasiwasi mnooo
Wow..... Nataman nipate jezi mapemaa timu ya wananchi timu dume team ya inayowakilisha taifa![]()
Jezi mpya ya Yanga baada ya kuingia mkataba na kampuni ya Italy itakayokuwa ikitengeza jezi ... hiyo ya njano ni ya ugenini itaanza kuvaliwa leo
Kwa leo hawajaweka nembo ya KILIMANJARO hadi wakirudi Dar
..........
No babe from now babe I just want you to forget all abt him....pls babeNamtania tu baby... Si unajua ya kale hayanuki?
Nzuri shemeji
Macho yake yako busy kwa warembo 24/7 mpaka anasahau kumuhudumia wifeHahahaha lakin huwa nashangaa sana huwa haudumu nao kwa muda mrefu, kulikoni?
Hiyo ni kampuni kubwa ndo inatengeneza jezi za Zamalek ya Misri ......Baada ya muda zitazinduluwa rasmi DSM na kuanza kuuzwa na zitabDilika kila msimu km NIKE & ADIDAS.....Wow..... Nataman nipate jezi mapemaa timu ya wananchi timu dume team ya inayowakilisha taifa