Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Nakutaka wewe tu bae ... The king of my soulUnataka Nini my xxx
Nakutaka wewe tu bae ... The king of my soulUnataka Nini my xxx
Ukiona mwanaume anajisifu sifu ujue hajiamni kabisaa na anachokifanyaMoyo wake uko kwangu anakumbuka mikwaju, but simtakiiiii
Hapana mkuu, mkeo kajileta huku hotelini anapiga kelele kuwa linamo anamwibia mine, Hii haikubaliki kabsaaWe Jamaa umeoa juzi tuu kwa huruma ya linamo Leo unaanza kujisahau patience alikukataa kutokana na michepuko Leo unakakaa na mwanamke mqingine kweli dadakipenzi Linamo kala hasaraaaa.....
Anayenisifu ni aliyenyeshewa CD patienceUkiona mwanaume anajisifu sifu ujue hajiamni kabisaa na anachokifanya
Subiri usifiwee kakak mkubwa jambilo
Poz hilo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hilo ni pozi la kupiga picha au ndo anashuka?
Umemuoa nani kwani? Linamo si bado anakupiga danadana na patience123 ndo huyoo keshatulizwa, ila mi nakukubali sana kwa jinsi ulivyo king'ang'anizi we endelea tu yupo takaye kukubalia kwa kuchoka kusumbuliwaMkuu sina ulinganifu, nataka amani ndoani mwangu, wote mnatambua nimeoa juzi hapa tuko honeymoon, si mniache nifurahiiii?
Mzembe kweli kazi kimtaja x wako kuliko mkeo....nna wasiwasi mnoooNjoo chemba tuongee tuyamalize uniache nienjoy na linamo buana
Ohooo uko gizani, tumefunga ndoa juz mkuuUmemuoa nani kwani? Linamo si bado anakupiga danadana na patience123 ndo huyoo keshatulizwa, ila mi nakukubali sana kwa jinsi ulivyo king'ang'anizi we endelea tu yupo takaye kukubalia kwa kuchoka kusumbuliwa
Tatizo unabana sanaaa,,, hv mpaka saa hizi hujajua tu kuwa nahitaji nn? Acha niendelee kukunyima rahaa

Na yupi sasa mana nlipotea kidogo humuOhooo uko gizani, tumefunga ndoa juz mkuu
OnaaaaaDah kweli mume nimepata![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umemuoa nani kwani? Linamo si bado anakupiga danadana na patience123 ndo huyoo keshatulizwa, ila mi nakukubali sana kwa jinsi ulivyo king'ang'anizi we endelea tu yupo takaye kukubalia kwa kuchoka kusumbuliwa
We uko hanimoon akili unawza x wako tuu hahahaja nadhan linamo haifanyi kazi Yake au una walakini haajajjajjhahhhahahafhwuyeggsvehwttffgghjjjhhgssgsgegsgwwwwwwwwttttttMkuu sina ulinganifu, nataka amani ndoani mwangu, wote mnatambua nimeoa juzi hapa tuko honeymoon, si mniache nifurahiiii?
Dah aisee, Linamo huyu huyu au ulimhonga ile passo??Onaaaaa
No babe bize collecting chapaaa....unajua nataka twende Miami safari hii??? BabeWhile busy collecting stones
Waaat.....Nakutaka wewe tu bae ... The king of my soul
Ohoooo, chezea jambilo wewe, unaona patience123 amerejea kwa kasiii japo cmtakiiiDah aisee, Linamo huyu huyu au ulimhonga ile passo??
Cc Linamo