Makapuku Forum

Makapuku Forum

768cf90e39918e039c227e7abe0ce16c.jpg
5355d6dfd2d510bcf18798cb48d75827.jpg
 
Hahahahahah and then nathani ukaja pita na Mama Mtumish mazima ama hili hutaki kulizungumzia...
Hansard iwekwe vizuri, Sumbai alikuwa shemasi but nilimfukuza kwa uzinz na walevi mtaani, mama mtumishi yeye alikuwa na wivu sana na akiona binti anakuja kwa huduma anachukia, ndo maana tulitengana, note ..tulitengana ndo fisi Sumbai kaokota
 
Hansard iwekwe vizuri, Sumbai alikuwa shemasi but nilimfukuza kwa uzinz na walevi mtaani, mama mtumishi yeye alikuwa na wivu sana na akiona binti anakuja kwa huduma anachukia, ndo maana tulitengana, note ..tulitengana ndo fisi Sumbai kaokota
Nimekuelewa pasina shaka Baba Mtumish wacha tuone sumbai atasemaje juu ya haya...hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom