Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shemeji nashukuru Mungu kwa siku hii ya leo kwani nipo fit mbaya kabisa...Wewe vp lakin Shem?
Niko poa sana, linamo amefanyika furaha yangu, patience kafanya maamuzi magumu hebu waone na sumbai
1466233399514.jpg
 
Shule 4m 1 na 4m 4 huwa hawapatani kabisa ni sawa na wakongwe v makapuku .....hawapatani kwa jambo lolote na huwezi kuwapatanisha nakumbuka nikiwa 4m 1 ilikuwa ni bora tufungwe tukicheza mpira na 4m 2 au 3 lkn sio 4m 4 na pia mademu wa 4m 1 walikuwa makauzu kinoma kuwakubalia mabishoo wa 4m 4

.. .........
Mkuu bado hawapatan au unaendeleza tuu?? Haya mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom