Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahahah and then nathani ukaja pita na Mama Mtumish mazima ama hili hutaki kulizungumzia...
Mkuu mama mtumishi nlimpata akiwa free hakua na ndoa nae....nlishangaa mtumishi kwanini anaish bila ndoa..?? Nlipoleta hilo swala kanisani nkaundiwa zemgwe nkafukuzwa


Hansard iwekwe vizuri, Sumbai alikuwa shemasi but nilimfukuza kwa uzinz na walevi mtaani, mama mtumishi yeye alikuwa na wivu sana na akiona binti anakuja kwa huduma anachukia, ndo maana tulitengana, note ..tulitengana ndo fisi Sumbai kaokota
Nakanusha kwanza....mwenye kashfa ni weewe kwa heshima ya kanisa tukaamua kwa pamoja nitolewe kafara kukunusuru mtumishi....ila nadhan rangi yako halisi ikaja kuonekana


Sote humu mashahidi....kwann your ex alikimbia???
 
9a5a2e793f5d8fa99668747802fc5b33.jpg

Maajabu ya khanga !!!!
...........
 
Mkuu mama mtumishi nlimpata akiwa free hakua na ndoa nae....nlishangaa mtumishi kwanini anaish bila ndoa..?? Nlipoleta hilo swala kanisani nkaundiwa zemgwe nkafukuzwa



Nakanusha kwanza....mwenye kashfa ni weewe kwa heshima ya kanisa tukaamua kwa pamoja nitolewe kafara kukunusuru mtumishi....ila nadhan rangi yako halisi ikaja kuonekana


Sote humu mashahidi....kwann your ex alikimbia???
Hahahahahahah Mtumishi jambilo naona muhumini wako ameamua kuweka mambo hadharani na inaonekana kumbe ulikuwa na Mama mtumish kama mchepuko tu...Hii ni kweli?
 
Mkuu mama mtumishi nlimpata akiwa free hakua na ndoa nae....nlishangaa mtumishi kwanini anaish bila ndoa..?? Nlipoleta hilo swala kanisani nkaundiwa zemgwe nkafukuzwa



Nakanusha kwanza....mwenye kashfa ni weewe kwa heshima ya kanisa tukaamua kwa pamoja nitolewe kafara kukunusuru mtumishi....ila nadhan rangi yako halisi ikaja kuonekana


Sote humu mashahidi....kwann your ex alikimbia???
Uliamua kuwa lowasa?
 
Hahahahahahah Mtumishi jambilo naona muhumini wako ameamua kuweka mambo hadharani na inaonekana kumbe ulikuwa na Mama mtumish kama mchepuko tu...Hii ni kweli?
Mkuu ungetegemea anisifie?
Ndoa na vyet vipo, Rudi nyuma jana p3 alikir mimi ni jembe ndo linamo wangu karoho kakaruka akanambia niko hapa nifanye utakavyo
 
Mkuu ungetegemea anisifie?
Ndoa na vyet vipo, Rudi nyuma jana p3 alikir mimi ni jembe ndo linamo wangu karoho kakaruka akanambia niko hapa nifanye utakavyo
Hahahahahah Pastor unanifurahisha mno...So unataka kuniambia dada angu Linamo alikupenda tu badala ya kuona umesifiwa na sumbai na sikuwa mlikuwa na mapenzi ya historia?
 
Mkuu ungetegemea anisifie?
Ndoa na vyet vipo, Rudi nyuma jana p3 alikir mimi ni jembe ndo linamo wangu karoho kakaruka akanambia niko hapa nifanye utakavyo
Sasa mkuu unachet cha ndoa na patience alafu una linamo nowadays....dah baba mtumishi unahitaji maombi.....

Wakuu tumwombee jambilo....kanisa linayumba. Au talaka umehalalisha???
 
Sasa mkuu unachet cha ndoa na patience alafu una linamo nowadays....dah baba mtumishi unahitaji maombi.....

Wakuu tumwombee jambilo....kanisa linayumba. Au talaka umehalalisha???
Hahahahahah kwani kanisa lenu nalo lilikuwa aliruhusu ndoa ya wake wengi? Na unataka kukiri kuwa na wewe unaishi na mke halali wa mtu mkuu?
 
Hahahahahah kwani kanisa lenu nalo lilikuwa aliruhusu ndoa ya wake wengi? Na unataka kukiri kuwa na wewe unaishi na mke halali wa mtu mkuu?
Ha hahah... Mimi sijaoa ila kama hakuta kuwa na pingamizi halali patience atakuwa mke...

Ila usisahau pasta anamke na chet cha ndoa ila anataka kuoa tena....

Cc jambilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom