Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha hahah... Mimi sijaoa ila kama hakuta kuwa na pingamizi halali patience atakuwa mke...

Ila usisahau pasta anamke na chet cha ndoa ila anataka kuoa tena....

Cc jambilo
Dah najaribu kufuta picha ya hilo kanisa lenu lilikuwaje maana ninyi wawili ndiyo mlikuwa viongozi wa kandoo na leo hii mmefikia hapa vipi hao waumini...Ama kanisa lenu ni lile watu wanaingia bila nguo kama ndiyo nisajili tafadhali hahaha
 
Hii issue inabidi tuite Baraza.
Ni shida kubwa na napata hata wasiwasi na hilo baraza la kanisa maana hii vita inahusisha mihili miwli yenye nguvu sana kanisani...Pastor ana mke wa ndoa lakini anaamua kuoa tena..Na muumini wake kaamua kuondoka na mke wa Pastor...
 
Dah najaribu kufuta picha ya hilo kanisa lenu lilikuwaje maana ninyi wawili ndiyo mlikuwa viongozi wa kandoo na leo hii mmefikia hapa vipi hao waumini...Ama kanisa lenu ni lile watu wanaingia bila nguo kama ndiyo nisajili tafadhali hahaha
Chanzo ni mkuu Wa kanisa....ila haktakiwi kulailumu...

Fanyeni kama neno linavyosema muwaombee watumishi...
 
Dah najaribu kufuta picha ya hilo kanisa lenu lilikuwaje maana ninyi wawili ndiyo mlikuwa viongozi wa kandoo na leo hii mmefikia hapa vipi hao waumini...Ama kanisa lenu ni lile watu wanaingia bila nguo kama ndiyo nisajili tafadhali hahaha

Hahahaha.....unataka usajili???
 
845f8651abc52d76358f314d0f127820.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom