Makapuku Forum

Fuata mkumbo upasuke utumbo

..........
Kweli hapo atalaumiwa mtumiaji lakini kwa upande mwingine wauzaji ni tatizo tusiseme tu kwa nini atumie tujiulize Kama wasingeuingiza nchini wangeutumia? Hata Kama kungekuwa na mateja lakini si kwa kiwango ambacho kiko sasa. Mbaya zaidi hawa ma drug delears ni watu wenye nyadhifa kubwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…