Kweli hapo atalaumiwa mtumiaji lakini kwa upande mwingine wauzaji ni tatizo tusiseme tu kwa nini atumie tujiulize Kama wasingeuingiza nchini wangeutumia? Hata Kama kungekuwa na mateja lakini si kwa kiwango ambacho kiko sasa. Mbaya zaidi hawa ma drug delears ni watu wenye nyadhifa kubwa.
Sasa nashindwa kuelewa huyu amekaa sober zaidi ya miezi sita bado hajaacha..
Je yule wa kiume(Chid) aliyekaa sober siku 28 atawezaje kuacha au ndo maigizo??..
Sasa nashindwa kuelewa huyu amekaa sober zaidi ya miezi sita bado hajaacha..
Je yule wa kiume(Chid) aliyekaa sober siku 28 atawezaje kuacha au ndo maigizo??..