briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Majirani wamekuja kunigongea hapa wananiuliza kama simu yangu ya touch imezimwa maana mtaa mzima mimi ndiyo mwenye smartphone pekee![]()

Majirani wamekuja kunigongea hapa wananiuliza kama simu yangu ya touch imezimwa maana mtaa mzima mimi ndiyo mwenye smartphone pekee![]()

Dah noma sana!Hadi ifike asubuhi watakuwa washamaliza vifaa vyote vyenye IMEI batili ..
Yaani hata kama una MODEM au simu ya magumashi na umeizima kwa bahati mbaya au makusudi, siku ukija kuiwasha tambua kuwa haitakuwa na uwezo wa kupata Mtandao.
Leo wanazima zile zilizowashwa tu.
Chali araa upogo!!!Nipo mkuu, sema tunapishana
Yule atakayepotea jukwaani Ndio tutagundua kuwa amekatwaJamani kapuku yoyote aliyezimiwa simu yupo!!?
MorningMorning all
Mutu yangu bolingo kwako kakaMorning
Ray C amefanya nn ndugu bitozi?
Morning allMorning all