Makapuku Forum

Makapuku Forum

0c161b5d68e451d1bff6e6d09a3de5b3.jpg

Yy kwani beautiful ?

.........
 
Dah hela nliyo nayo ni kama laki 1.5. Ndo nawaza niitumieje kabla mwezi haujaisha nkadaiwa kodi ya chumba
Well, nashauri hiyo pesa jaribu kuangalia biashara inayoendana na soko hasa kwa kipindi hiki tulichopo utaweza kusave faida utakayokuwa unaipata maana nikikuambia kufanya biashara flani nitakudanganya coz mazingira tunayoishi mimi na wewe yanatofautiana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom