Tuko pamoja kaka. Nimekukumbuka sana.Poa sana, nafurah kukuona
Hahahaaa....Siku zangu? Nyingine ni za nani?
Inatakiwa ufanye mapema braza.Mkuu mimi ntaopoa kitu kikali balaaa
Mwambie huyo...Ndg. Unajifahamu kuwa madamu hukuachaga ndani ya miezi 2, kwa ajili ya kibamia, punguza maneno kwani utaaibika sooon
...
Unavizia eeeh....??Kaa mbaaali kijana
Ni njema kaka. Habari ya wewe vipi?Salama sana ndugu yangu za masiku tele?
Palepale pa jana mkuuuNdo nataka kufungasha hapa safari ianze mkuu...Pande zipi leo?
Nami pia mkuuTuko pamoja kaka. Nimekukumbuka sana.
Wakati ni huuInatakiwa ufanye mapema braza.
Ndo maanake braza.Wakati ni huu