Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Safiiiu![]()
Belgium:
Italy
...........
Safiiiu![]()
Belgium:
Italy
...........
Na wa Mwanza piaKwa mujibu wa waziri wa fedha na mipango Dkt Philip Mpango mkoa wa Kigoma unaongoza kwa umasikini kwa kuwa na watu masikini 48.9% ukifuatiwa na Geita 43%,Kagera 39%,Singida 38%,Mwanza 35%.Mikoa yenye masikini wachache ni Dar es salaam 5.2%,Kilimanjaro 14.3%,Arusha 14.7%,Pwani 14.7%,Manyara 18.3%.Wilaya masikini zaidi ni Kakonko na Biharamulo(Kagera) ambazo 60% ya watu wake ni masikini.
*Wahaya kueni serious kidogo mmesahau mlikotoka*
AaaahAisee hapo ulitisha mbayaaa
Kwahiyo Ximena huko kashakuwa maarufu?
Mkuu sidhan kama kompan angekatika vile...kama yule vonthem gan yule na mwezakeAah
Hata angekuepo tunge wapiga
Nyt nyt uniamshe dakutimeNawatakieni usiku mwema makapuku family
Asante na iwe hivyo kwako pia........................
USIKU MWEMA
...........................
Asante usiku mwema kwako piaNawatakieni usiku mwema makapuku family