Makapuku Forum

Makapuku Forum

00c13618d83fcef0142ac413f19c54a2.jpg
Nimeipenda avatar yako
 
Kwa mujibu wa waziri wa fedha na mipango Dkt Philip Mpango mkoa wa Kigoma unaongoza kwa umasikini kwa kuwa na watu masikini 48.9% ukifuatiwa na Geita 43%,Kagera 39%,Singida 38%,Mwanza 35%.Mikoa yenye masikini wachache ni Dar es salaam 5.2%,Kilimanjaro 14.3%,Arusha 14.7%,Pwani 14.7%,Manyara 18.3%.Wilaya masikini zaidi ni Kakonko na Biharamulo(Kagera) ambazo 60% ya watu wake ni masikini.

*Wahaya kueni serious kidogo mmesahau mlikotoka*
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom