Makapuku Forum

Makapuku Forum

4e46ebcb26c06181a6dc932426a4eb1b.jpg
 
Haina shida ntaoa mwingine wewe wajua nina access ya warembo balaa, na patience123 lazima tukumbushie ujue tuna mtoto, ck ukimletea noma atajileta mwenyewe

Mkuu pesa yeye alikuwa mtunza hazina, pesa kwangu si tatizo bali tatizo namna ya kuzitumia

Nawe ni hodari wa mayowe, unakumbuka siku ile ulipiga kelele hadi mgeni chumba cha pili akatugongea akijua tumevamiwa??
We kuwa mpole mkuu....

Umetupa almasi.....acha tupate raha tuuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom