Mtu akitukana TUSI KUBWA AU LOLOTE ni kureport tu bila kureplyKumpotezea ndio ila huyu Jamaa rafiki yangu naona anazidi kujisahau...
Mambo zako zinakwendaje kaka ake?Hahahaa dadaaaaake mie!
Fundi magari anajiona yuko juuuNaona kijana dharau zimezidi au??? Hivi unajiona weewe umesoma saana au???? Who told you kapuku ni wanafunzi??? Acha zako braza....
Nimekustah kwa vile tunafamiana..ila you always think and talk negative about this people
Kuna watu wapo hapa wana profile kubwa na wanasifa kubwa humu Jf kyliko weewe...
Behave pls
duh! kapukuz kwema wewe?eeeh! eenhe! umeingia laini nilikuwa nakusubiri kwa hamu sana mkuu sasa naona umevamia tanki la mimavi sasa ngoja unukie,najua hapo unajitegeza kwa kuwa we ni kiherehere wa wa wakongwe ambao wanajipendekeza kwa mods,kwa muda huu bora nikuache ntakukumbusha baadae nikipata muda wa kukujibu wewe jobless unaetega masikio kusikilizia wapi ambapo mtagaiwa sukari ya bure mliyohaidiwa na uncle magu kwa sasa nakuacha ila baadae ndio utanijua mimi ni nani
Unahangaika na service man wanini?Kumpotezea ndio ila huyu Jamaa rafiki yangu naona anazidi kujisahau...
Miss you wiiHello family
Hope wote mko pouwaaaa
Rudi nyuma kidogo tu utaiona wala haipo mbaliWowwwwww
Happy birthday kapukuz Inc
Mcd you sanaaMiss you wii
View attachment 355155
Karibuni
cheersIla manuu asikaribie aiseView attachment 355155
Karibuni
Pole shem. Upone harakaMcd you sanaa
Mafua yanenifanya mbaya my wii
Ni kitwanga au juisi!cheers
Wengi ni wafuasi wa Shintoism. Isitoshe hayo mambo ya Walawi ni sheria za watu tu na zimeshapitwa na wakati. Aliyekufa msalabani alifuta Misheni hii mingi isiyotekelezeka! Wafuasi wa Orthodox Judaism ndiyo bado wanahangaika nayo!Ha hahahah....hao Haata hawajasoma maandiko ya walawi kwenye biblia...
Mtu akitukana TUSI KUBWA AU LOLOTE ni kureport tu bila kureply
Mtu akileta shombo na mizinguo tunamkaushia tu......tunaendelea na ishu zetu hatuna habari nao
Tuna kazi za kufanya...tusihangaike nao
.......................
No shobo
No ufagio
No kick
........................
