Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aisee.
Waambe waende *Be forward*.... watu wanaleta mazoea ya kupanda magari wakati wazazi wao hata baiskeli hawana.
Sasa unataka na wao wafe hawajayamiliki Kama wazazi wao?
Kuzaliwa na baba asiye na gari siyo kosa Lao kosa lao ni Kama watakubali kuolewa tena na mume asiye na Gari
 
e17de9b2fcca6946cced293cb523a164.jpg
Hahahahaha mpo vizuri
 
Ha ha ha ha makapuku bana kweli mnastahili hivyo maana hii mambo ya kusema sijui mademu wananishobokea cjui home kuna mandinga ni ishu ya kiloko saaaana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom