Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Ila bahati nzuri warembo kwangu wanakuja wenyewe.Kweli hujui matunzo.acha aende
Kwahyo situmii nguvu nyingi sana.
Ila bahati nzuri warembo kwangu wanakuja wenyewe.Kweli hujui matunzo.acha aende
Lol naona unajisifia.Ila bahati nzuri warembo kwangu wanakuja wenyewe.
Kwahyo situmii nguvu nyingi sana.
Lol naona unajisifia.
usimwambie mtu.Mmmh lazima niseme ila wadada wa sikuhizi wanataka wakaka wenye nyota za Prado, vits, starlet, Rav 4![]()
![]()
![]()
usimwambie mtu.
Nyota yangu nadhani itakuwa ya chips mayai
Aisee.Mmmh lazima niseme ila wadada wa sikuhizi wanataka wakaka wenye nyota za Prado, vits, starlet, Rav 4
Sasa unataka na wao wafe hawajayamiliki Kama wazazi wao?Aisee.
Waambe waende *Be forward*.... watu wanaleta mazoea ya kupanda magari wakati wazazi wao hata baiskeli hawana.

Sasa kama wanataka magari si watafute wenyewe?Sasa unataka na wao wafe hawajayamiliki Kama wazazi wao?
Kuzaliwa na baba asiye na gari siyo kosa Lao kosa lao ni Kama watakubali kuolewa tena na mume asiye na Gari![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mosswood Aviation Academy MWENYE KUJUA HIKI CHUO NAOMBA TAARIFA ZAKE
Hahahahaha mpo vizuri
Sasa kama wanataka magari si watafute wenyewe?
Si lazima wapewe na wanaume!
ya kwenu yanavutia sana
Asante dadake. Uko poa!Mimi nimekumiss zaidi pastor
Oooh acha kabisa, huko poa sana, nimekuja na upako na nguvu mpya thus why hata humo siongeiongei sanaNipo my pastor niende wapi. Nilikuulizia hapa muda flani Lizzy akaniambia ulienda Israel vipi tupe yaliyojiri huko.
Kama wewe piaMabinti wazuri kama lizzibetie utaishia kuwaita shemdarling.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()