Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Unajua utamu wake......ww kazi kuangalia nje TU![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kapoteza nauli tuu huyu
.......
Unajua utamu wake......ww kazi kuangalia nje TU![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kapoteza nauli tuu huyu
Salama tu missHabari ya jioni wapenzi??
Ni kweli nilikusepo na Manyoni kuna watoto wakali hadi nilitaka kusahau kwetuUsiwaze Shem ,njia ya kile kijiji chenye watoto wazuri naikumbuka
Na hivyo wameshanifaham hakijaharibika kitu
Wewe jipange tu, yani posa,mahali na kuchukua mke tunafanya ndan ya siku mbili tuuuuu
Nitamvalisha gunia basiKiroho safi tuu
Ila hivyo vinguo hatutaweza kuvumilia
Unataka Mmanyema nini!?Mimi nitachukua wa Kigoma warembo sana
![]()
![]()
![]()
.........
Anatudanganya la sivyo arushe pichaWeka picha
Karembo saaana![]()
.......
Sisemi kitu
Kama yanaliwa basi hakuna shidaMtakula matofali
![]()
![]()
![]()
......
Uchaguzi zero![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndo aliye mfuata kigoma
Na ulimi wa mwendo kasi nauona![]()
Huo ni mwendo puto
.......
KabisaBora twende singida![]()
![]()
HaaahaaaaaNa kunywa maji mengi manake sasa mtoto nae atafata rangi ya mama View attachment 352499

So Mote It BeHahahaha
Alaf singida ndo uka nikaushia
Kaja mwana singda apa In Shaa Allah tutalieka sawa
Tutamtafutia magauni ya usinipite mwokoziNitamvalisha gunia basi
........
Nauli na muda![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kapoteza nauli tuu huyu
Sidhani kama anaweza hata kubusu huyu mtu. Ukiona mtu anaongelea mambo hayo jua hata ukienda bila khanga ataficha uso. Hawajiwezi.