Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Fanta uwa wana sema ni soda ya wagonjwaFanta nazo mnaweza kushangaa nyuki wanajaa mezani
Fanta uwa wana sema ni soda ya wagonjwaFanta nazo mnaweza kushangaa nyuki wanajaa mezani
Mugabe ktk ubora wakeImagine
Basi subiri nikisikia ofa za Azam cola nitakushtua.Kwani vinywaji hivyo tu au?
Advocate ntahakikisha unampataNjoo tupige vitu.![]()
![]()
![]()
inatengenezwa na Rombo breweries LtdView attachment 351964
Hapo vepe
Kwahiyo unanichinjia baharani au?Basi subiri nikisikia ofa za Azam cola nitakushtua.
na watoto piaFanta uwa wana sema ni soda ya wagonjwa
Yule mzee ni balaahahaha...Mugabe kwa sasa ndio habaree ya mjini
Hahahaana watoto pia
Unazingua sasaKwahiyo unanichinjia baharani au?
Mzeee anajua hadi misemo ya kiswahili etiYule mzee ni balaa
Na nyuki.na watoto pia
Nazingua nini sasa?Unazingua sasa
Sasa bia hutaki,soda hutaki,au unataka uji wa ulezi.Nazingua nini sasa?