amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,398
HongeraaMi sifeki kitu coz najiamini...I'm smart,I've vision japo mfukoni hapasomi sana but lazima demu afungulie geti
![]()
![]()
![]()
.........
HongeraaMi sifeki kitu coz najiamini...I'm smart,I've vision japo mfukoni hapasomi sana but lazima demu afungulie geti
![]()
![]()
![]()
.........
Njozi njema mkuu.Mlale salama kapukuz
Mwanamke kuolewa ni bahati*
Mwanaume kuoa ni kuamua*
Mimi nikitaka kuoa mwezi ujao inawezekana lakini kwa mwanamke haiwezekani.

Kwani uongo?Ntakufumuaaa![]()
![]()
Jambo la hatari, unacheka![]()
![]()
![]()
Asante shemeji.Kukesha kwema wapenzi,
maana maandiko yanesema kesheni mkiomba maana hamjui siku wala saa..............
Hi......Young blood leta topic ya kikakupu tuhangaike nayo
Damu bado inachemka mkuu.Mkuu uwepo wako unasababisha pages zinakimbia faster....kweli wewe damu ni changa bado

Hayo ndio maneno uliyojifunza tangaMwanamke kuolewa ni bahati*
Mwanaume kuoa ni kuamua*
Mimi nikitaka kuoa mwezi ujao inawezekana lakini kwa mwanamke haiwezekani.
AjeAje mzee wa kukurupuka.![]()
![]()
![]()
Hiyo ni fact mkuu.Hayo ndio maneno uliyojifunza tanga
Poa brother.
Tunasemaga Jua huzama kwa wanawakeWanaume hamna ndoto za kuoa or????
