Makapuku Forum

Makapuku Forum

0d1a154e1775c967bc291ee6d31b8bfe.jpg

Karibu Domourinho
Upunguze mdomo braza
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.......
 
Hapana wengi tunaupendo wa dhati

Shida inakuja pale jamaa kakutokea badala awe mkweli about his real life yeye anafake kila kitu

Hapo lazima nimuoneshe kaziiiiiiii
Mi sifeki kitu coz najiamini...I'm smart,I've vision japo mfukoni hapasomi sana but lazima demu afungulie geti
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.........
 
Lakini madawati serikali inabidi inunue ndomana kodi inalipwa
Ni sawa lakini kama madawati pekee bila watu kutambua umuhimu wa elimu hayatasidia kijiji kuendelea ,sasa kama wanakijiji wanashinda kwenye urabu hayo madawati yatakuwa na kazi gani.
Yani kuna baadhi ya vijiji Tanzania mtu haoni faida kabisa ya kumpeleka mtoto shule so hata kama ukipeleka masofa badala ya madawati hawatasoma ng'o, kwasababu hawajui nini faida ya kusoma.
 
Back
Top Bottom