Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,425
Mpokee Kisha msamameheNdio mambo gani sasa unarudi bila kutoa taarifa🙆♂️🙆♂️
Mpokee Kisha msamameheNdio mambo gani sasa unarudi bila kutoa taarifa🙆♂️🙆♂️
Hahahaha,unakataa ofa?Sitaki.
Sasa hapa nani anampokea mwenzake🤣🤣🤣Mpokee Kisha msamamehe
Yake siitaki.Hahahaha,unakataa ofa?
Hahahaha,dah hiyo kesi ngumuSasa hapa nani anampokea mwenzake🤣🤣🤣
Karudi bila kutoa taarifa, matokeo yake hajanikuta nyumbani🙆♂️🙆♂️
HahahahaYake siitaki.
Twende ukanitetee🤣🤣Hahahaha,dah hiyo kesi ngumu
Usijari,nipo hapo kwa kazi hiyoTwende ukanitetee🤣🤣
...hapa mimi ninamtuhumu Tresor Mandala kwa kumficha Maki, yaani kuelekea msimu wa sikukuu napmbana na baridi. Atoto plz njoo utuambie ni mpango gani mliosuka na Tresor kuninyang'anya ua languUache kulisusa jukwaa na umtoe Makiwendo mafichoni maana hata Tresor Mandala haelewi ulipomficha.
Hahahaha,dah hizi tuhuma nahitaji wakili msomi kunitetea, shangazi Shunie hebu Fanya hima umuite Swahiba Makiwendo aje aseme Yuko wapi ,mie lawama sitaki...hapa mimi ninamtuhumu Tresor Mandala kwa kumficha Maki, yaani kuelekea msimu wa sikukuu napmbana na baridi. Atoto plz njoo utuambie ni mpango gani mliosuka na Tresor kuninyang'anya ua langu
Taarifa ya habari ama ya nini narudi kwangu bado nitoe taarifa..Ndio mambo gani sasa unarudi bila kutoa taarifa🙆♂️🙆♂️
🤣🤣🤣🤣🤣...hapa mimi ninamtuhumu Tresor Mandala kwa kumficha Maki, yaani kuelekea msimu wa sikukuu napmbana na baridi. Atoto plz njoo utuambie ni mpango gani mliosuka na Tresor kuninyang'anya ua langu
Nilikuwa kwa mama mkwe kutoa taarifa ya kupotelewa na mume. Subiri naja, yanazungumzika.Taarifa ya habari ama ya nini narudi kwangu bado nitoe taarifa..
Huko ulipo ndio ukae huko huko, usirudi huku.
Hahahaha, hapana mie sifichi watu Rafiki, usiogopeKumbe umemficha dada yangu🙆♂️🙆♂️
Hahahaha, naomba uwe Wakili wangu katika Tuhuma hii mzito humu,😂🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa mimi nahusikaje jamani?
Aaaah! Hebu sema vizuri🤣🤣🤣Hahahaha, hapana mie sifichi watu Rafiki, usiogope
Hebu sema kweli, wakili huwa hadanganywi.Hahahaha, naomba uwe Wakili wangu katika Tuhuma hii mzito humu,😂
Aahh... kmmke walai umeniweza 🤣🤩Nilikuwa kwa mama mkwe kutoa taarifa ya kupotelewa na mume. Subiri naja, yanazungumzika.
Aahh... kmmke walai umeniweza 🤣🤩
Uje na ushuhuda ulikuwa kwa mama..