Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,386
Yewooooomi🙆♂️🙆♂️🙆♂️Aya manii
Yewooooomi🙆♂️🙆♂️🙆♂️Aya manii
Duh, kweli bhana. Jukwaa limepoa hata Ijumaa inaonekana kama j3. Asante Poker kwa kutuita
🤣🤣🤣🤣🤣 umemficha wapi dada yangu?Nilikuambia last time, ninatendwa mimi na hakuna anayenionea huruma. Ila ipo siku tu
Sasa wewe ndio unieleze uko wapi, mbona mie niko hoke hapa na wewe haupo?makaveli10 kwahiyo umegoma kurudi nyumbani?
Tujue kwanza unatiki ama unatoka?
Ninatoka makaveli10 hilo ni uhakikaTujue kwanza unatiki ama unatoka?
Uache kulisusa jukwaa na umtoe Makiwendo mafichoni maana hata Tresor Mandala haelewi ulipomficha.Duh, kweli bhana. Jukwaa limepoa hata Ijumaa inaonekana kama j3. Asante Poker kwa kutuita
HahahahaUache kulisusa jukwaa na umtoe Makiwendo mafichoni maana hata Tresor Mandala haelewi ulipomficha.
Hahahaha,uwe unaniona kwa Hilo😂Bando mgogoro rafiki. Nimefurahi kukuona.
Aaaah home wapi jamani🙆♂️Sasa wewe ndio unieleze uko wapi, mbona mie niko hoke hapa na wewe haupo?
We leo hii hujui home wapi, wacha uhuni uko wapi, mie nipo home hapa.Aaaah home wapi jamani🙆♂️
Pamojq sana mwamba.Ninatoka makaveli10 hilo ni uhakika
HahahahaWewe nakuamini, sio haka katoto Poker kaongo kama jina lake.
Ndio mambo gani sasa unarudi bila kutoa taarifa🙆♂️🙆♂️We leo hii hujui home wapi, wacha uhuni uko wapi, mie nipo home hapa.
Nina wiki ya pili nipo home we haupo