Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mbona simuoni?
1herocraft-postal-babes-v.jpg
Huyu hapa babe,
 
Aisee brother niko Tanga nimefika maeneo ya chumbageni.
Hawa watoto wa kitanga ni balaa yani ukisikia mtu kauza nyumba usishangae....
Ha Haaaa CHumbageni dah nimepamiss saaana.....

Fanya kutembea tembea pale raskazone, maktba pale upunge upepo mchana....
Usisahau barabara ya kumi pale kuna pweza saafi saaana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom