🙏🙏Nilikwenda misa ya kwanza.
😨😨Kama unaenda ibadani na kutengenezewa mikingamo ati kwakuwa tu huna sadaka, huo ni "Msiba".Hapana kaka jinsi tunavyo undwa huko makanisani kwenda kwenye ibada bila matoleo ni ngumu kidogo, unaeza kwenda usirudi nyumbani na amani zaidi ya mfadhaiko wenye aibu ndani yake!
Umenionea wapi makaveli10Abeeh auntie
Nakubaliiii!!!!
Umenionea wapi makaveli10
Nakubaliiii!!!!
Naam brother kuna namna fulani viongozi wetu wametufikisha kwa mfumo wa mafundisho na kanuni zao tuone sadaka ni kama ada ya kwenda kusali kanisani!😨😨Kama unaenda ibadani na kutengenezewa mikingamo ati kwakuwa tu huna sadaka, huo ni "Msiba".
Mungu ametoa NENO lake kwetu bure kabisa, ni kweli kwamba nyumba zetu za ibada zinahitaji nguvu zetu kuziendesha lakini si kwa namna kama hizi ambazo viongozi wetu wametufikisha.
Huh!! Sasa simu gani jamani🙆Mpigie simu auntie me sijui bwanah
Acha visingizio dogo, nenda church.Naam brother kuna namna fulani viongozi wetu wametufikisha kwa mfumo wa mafundisho na kanuni zao tuone sadaka ni kama ada ya kwenda kusali kanisani!
Athari za mafundisho yao zimezaa kanuni kwetu waumini kwamba usipo kuwa na fedha kwa ajili ya sadaka inakupasa usihudhirie ibada.
Nimeenda sana kanisani tena sana, i can't forget Christmas ya 95, kwa mapenzi niliyokuwa nayo na kanisa nilienda na kaptula iliyochanika vile nilichekwa na wenzangu nisinge kanyaga tena kanisani!Acha visingizio dogo, nenda church.
Huh!! Sasa simu gani jamani
Nisaidie kumtafuta.


si sawa kama unajidate mwenyeweSasa mahusiano ganiiii hamjavushana nje ya sever za jf auntiesi sawa kama unajidate mwenyewe




jamaniiii aiiiiiihTeh teh teeeeh!Nimeenda sana kanisani tena sana, i can't forget Christmas ya 95, kwa mapenzi niliyokuwa nayo na kanisa nilienda na kaptula iliyochanika vile nilichekwa na wenzangu nisinge kanyaga tena kanisani!
Ila naenda kila mara lakini leo tu nilivyo kosa sadaka😂
🤣🤣🤣🤣Sasa mahusiano ganiiii hamjavushana nje ya sever za jf auntiesi sawa kama unajidate mwenyewe
Nipo ☝️Umenionea wapi makaveli10
Haya ndio MAHUSIANO YASIYOHUSIANA 🤣Sasa mahusiano ganiiii hamjavushana nje ya sever za jf auntiesi sawa kama unajidate mwenyewe
Mpigie simu auntie me sijui bwanah
Maki kama makiSawa tutaacha😃😃😃