Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Mkazi wa Kijiji cha Miule wilayani Tandahimba, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 20 jela, baada ya patikana na hatia ya kukutwa na kucha za mnyama ajulikanaye kwa jina la Mhanga.
Akizungumza na Waandishi wa Habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo, amesema kuwa, kesi hiyo ni kati ya kesi 76 zilizofikishwa katika mahakama mbalimbali na kutolewa hukumu.
“Yusuph Stephen Mkwemba (42) alikutwa na kucha hizo ambazo ni nyara za Serikali nyumbani kwake, zenye thamani ya Sh1.52 milioni. Mahakama imemtia hatiani na kumfunga kwa kuwa ni kosa kisheria kuwa na nyara hizo,” amesema.
(Imeandikwa na Florence Sanawa)
Akizungumza na Waandishi wa Habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo, amesema kuwa, kesi hiyo ni kati ya kesi 76 zilizofikishwa katika mahakama mbalimbali na kutolewa hukumu.
“Yusuph Stephen Mkwemba (42) alikutwa na kucha hizo ambazo ni nyara za Serikali nyumbani kwake, zenye thamani ya Sh1.52 milioni. Mahakama imemtia hatiani na kumfunga kwa kuwa ni kosa kisheria kuwa na nyara hizo,” amesema.
(Imeandikwa na Florence Sanawa)
| Timu ya Kaizer Chiefs
imetua nchini leo alfajiri Ijumaa ikiwa na msafara wa watu 28 kwa ajili ya mechi yake ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Yanga, Julai 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika Kilele cha Wiki ya Mwananchi.
OFFICIAL & CONFIRMED:
kwa Mkataba wa miaka miwili.
Jumamosi hii imewekwa kwenye daftari la ‘hatari’ ya burudani na Afisa Usalama wa soka, Wananchi wenye hasira kali na mafanikio watajitokeza ‘kumzika’ Mwizi wao Kaizer Chiefs kutoka Kusini kwa Madiba Mandela.