Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
OFFICIAL & CONFIRMED:.
Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi ZOUZOUA PACOME (26) kutoka Asec kwa Mkataba wa miaka miwili.
.
Pacome
ni kiungo mshambuliaji, Ndiye MVP wa Ligi Kuu ya Ivory coast ni mchezaji mkubwa mwenye thamani kubwa.
