Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jezi bora na za viwango vya juu kutoka kwa 𝑴𝒏𝒚𝒂𝒎𝒂 #WenyeNchi #NguvuMoja
Screenshot_20230721_204009_Instagram.jpg
 
Uongozi wa Yanga una mpango wa kumtema beki Mamadou Doumbia lakini mkataba ambao waliingia naye mwanzoni umewabana na sasa wamekaa wanakuna vichwa kuona watafanyaje.
.
Doumbia amefungua kuwa: “Nimekaa na viongozi wa Yanga zaidi ya mara tatu ili kuweza kumalizana lakini imeshindikana wanaomba kunitoa kwa mkopo jambo ambalo ni gumu, kama nikiondoka tutakuwa tumefikia makubaliano ya moja kwa moja.”
Screenshot_20230723_065742_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom