Makapuku Forum

Makapuku Forum

Straika wa Tottenham Hotspur, Harry Kane anadaiwa hafikirii na hana mpango wa kujiunga na Paris St-Germain katika dirisha hili la usajili licha ya taa-rifa kudai mabosi wa timu hiyo wanamwangalia kama mbadala wa Kylian Mbappe ambaye huenda akaondoka kabla ya dirisha la usajili Ulaya kufungwa.

Kane ambaye mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwakani anatajwa kuwa na nafasi kubwa ya kutua katika kikosi cha Bayern Munich
Screenshot_20230719_124501_Instagram.jpg
 
Taarifa njema kwa mashabiki wa United ni kuwa Klabu ya Chelsea kupitia kocha wake mkuu Mauricio Pochettino ameonyesha wazi nia yake ya kuitaji saini ya beki wa Man United , Harry Maguire .

S/O Sky Sports.
Screenshot_20230719_124647_Instagram.jpg
 
Kocha wa Bayern Munich Thomas Tuchel amelalamika wachezaji wake kupunguza umakini na kujikuta wakipata idadi ndogo ya magoli kwenye mechi ya kirafiki hapo jana .

" Tumeshinda Idadi ndogo ya mabao timu yetu imecheza chini ya kiwango bao 27-0 ni chache sana kipindi cha pili tumekosa ukatili kabisa sijaridhishwa na idadi ndogo ya mabao tuioyapata"

Hadi. halftime Bayern walikuwa mbele kwa mabao 18-0.
Screenshot_20230719_124952_Instagram.jpg
 
Siku 5 tu baada ya kukutwa hana hatia na Mahakama ya Chester Crown juu ya makosa mawili ya kubaka na ya kujaribu kubaka, mlinzi wa zamani wa Manchester City, Benjamin Mendy amejiunga na klabu ya Lorient ya Ufaransa kwa mkataba wa miaka miwili.

Mendy (29) raia wa Ufaransa ambaye ni mshindi wa kombe la Dunia 2018 anarejea kusakata kabumbu baada ya kuwa nje ya soka kwa kipindi cha miaka miwili na nusu kutokana na kesi hiyo

Mendy alijiunga na Manchester City mnamo 2017 kwa pauni milioni 52 akitokea Monaco mnamo na kusaini mkataba wa miaka sita wenye mshahara wa pauni 100,000 kwa wiki. Mkataba wake Man City ukifikia ukomo mwisho wa mwezi Juni 2023.

Screenshot_20230719_130157_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom