Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Straika wa Tottenham Hotspur, Harry Kane anadaiwa hafikirii na hana mpango wa kujiunga na Paris St-Germain katika dirisha hili la usajili licha ya taa-rifa kudai mabosi wa timu hiyo wanamwangalia kama mbadala wa Kylian Mbappe ambaye huenda akaondoka kabla ya dirisha la usajili Ulaya kufungwa.
Kane ambaye mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwakani anatajwa kuwa na nafasi kubwa ya kutua katika kikosi cha Bayern Munich
Kane ambaye mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwakani anatajwa kuwa na nafasi kubwa ya kutua katika kikosi cha Bayern Munich

