Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Nini wewe karibu makapuku toto Carasco Putin ebu mkaribishe halafu imekuwaje I'd yako kuna mtu aliiba au ya corasco
Nini wewe karibu makapuku toto Carasco Putin ebu mkaribishe halafu imekuwaje I'd yako kuna mtu aliiba au ya corasco
Naona mpira tu duh ndio nashangaaNini wewe karibu makapuku toto Carasco Putin ebu mkaribishe halafu imekuwaje I'd yako kuna mtu aliiba au ya corasco
Hii ndio makapuku usishangae kuna habari mchanganyikoNaona mpira tu duh ndio nashangaa
Nini wewe karibu makapuku toto Carasco Putin ebu mkaribishe halafu imekuwaje I'd yako kuna mtu aliiba au ya corasco


Duh sawHii ndio makapuku usishangae kuna habari mchanganyiko
Yaani kila nikiandika corasco naletewa mtu mwingine ndio kuangalia kumbe imebadilika pole mnooKuna bata kaiba id yangu baada ya kubadili jina kujiita usm Alger nikakuta id yangu imeibwa![]()
Hahahhah yaani wewe bwanaDuh saw
Mimi nimefanyaje sasaHahahhah yaani wewe bwana
Hahahha yaani unavyoshangaa usijali bwana utazoea tuMimi nimefanyaje sasa
Ila nimekumissClub ya Al Ahly ya Misri imevunja mkataba na Mchezaji wa Kimataifa wa Msumbiji Luis Jose Miquissone kwa makubaliano ya pande zote mbili, taarifa iliyotolewa na Wakala wa Mchezaji huyo imethibitisha.
Miquissone alijiunga na Al Ahly ya Misri akitokea Simba SC ya Tanzania 2021 ila amekosa nafasi ya kucheza toka aondoke Kocha Pitso Mosimane na sasa amevunja mkataba ili aende sehemu atakayopata nafasi ya kucheza.
Asilimia 90 Luis Jose Miquissone anarudi Simba SC inaeleza ameshakubaliana maslahi binafsi na Uongozi.View attachment 2692328
He he nimekumiss pia dear juzi kati nilikuona unapambana kwenye thread nilioandikiwa we mtu thread ya kwanza imefungwa unaandika nyingine na zote zilifungwa na kuungwa sijui alitumwa na nani woiiiiIla nimekumiss

vipi bado mtakunywa pombe..!?Uzi unapoteaga tatizo!!🙆🙆He he nimejaa tele makapuku ndio ninapopatikana auntie yangu
Maisha mafupipiiii.........Ukisikia pombe inaungaza ini.. basi linakuwa hivi..hapa ini limeoza kutokana na pombe..
Wataalamu wanaita Alcoholic Liver Cirrhosis... kuna sababu nyingine zinazoweza kusababisha ini kuoza ila sababu kubwa ni pombe...
Mgonjwa akishafikia hatua hii utakuta anatapika damu, tumbo linajaa maji na kama ni mwanaume matiti yanaanza kuota...
Bahati mbaya pombe zote zina madhara sawa kwenye ini..sio kimpumu, Hennessy wala wine kinachojalisha ni muda gani umekunywa..
Ini likioza katika nchi zilizoendelea unaweza kupandikizwa ini jingine, huku kwetu..!!vipi bado mtakunywa pombe..!?View attachment 2692360
Mliishia wapi sasa🤣🤣🤣He he nimekumiss pia dear juzi kati nilikuona unapambana kwenye thread nilioandikiwa we mtu thread ya kwanza imefungwa unaandika nyingine na zote zilifungwa na kuungwa sijui alitumwa na nani woiiii
Mliishia wapi sasa![]()


Nilimwona chizi aliyemtuma naye chizi ghafla shunie simjui woiii bora thread ziliunganishwa na kufungwa
Maisha mafupipiiii.........
Asikwambie mtuuuu.....
Auntie tusitishane.


Sijamtisha mtu auntie nimetoa taarifa mnywe kistaarabu