Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Doh!!!..huyo Raia ni nani kwanza?Unajua mtu anakuwekea thread humjui hujawahi kuona I'd yake hujawahi chat naye sawa ni muhenga lakini profile yake hana thread hata moja zaidi ya hizo za shunie huoni kuna kitu hapo auntie


AZAM FC itashuka uwanjani leo kucheza mchezo wake wa pili wa kirafiki dhidi ya miamba ya soka la Afrika, Esperance Tunis utakaopigwa saa 1:30 usiku.
“Uwezo wake wa kupambana uwanjani ni mkubwa sana bila kusahau mbinu na uzoefu alionao ndio uliowavutia zaidi Yanga, hivyo umri sio kikwazo. Yanga hawatajutia kuwa naye, sisemi kwa sababu ni meneja wake ila kizuri kinajiuza nina uhakika atafanya makubwa.” Meneja wa Sudi Abdallah.