Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
ANDRE Onana huenda akawa mmoja wa makipa wanne ghali duniani atakapotua Manchester United katika historia ya mchezo wa soka.
.
Waliomtangulia ni Kepa kwenda Chelsea — Pauni 80m, Alisson kwenda
Liverpool — Pauni 62.5m na Gigi Buffon kwenda Juventus — Pauni 52.5m.

KOCHA Mkuu wa Chelsea, Mauricio Pochettino anapiga hesabu kunasa huduma ya beki Harry Maguire kabla dirisha hili la kiangazi halijafungwa. Staa huyo wa kimataifa wa England 30, anaweza kuachana na Manchester United dirisha hili baada ya kuvuliwa unahodha na kocha Erik ten Hag ikiwa na maana hayupo kwenye mipango ya Ten Hag.
2016 — Orlando Pirates
