briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Poa kamandaAsante mkuu.
Nimekaribia.
Poa kamandaAsante mkuu.
Nimekaribia.
Wapi nimesema ni ke?Kwani Sumbai ni ke??
Kwema kabisa.Kwema humu
Poa kbs how was ur Monday blood ?Kwema kabisa.
Habari ya jioni brother.
Monday iko poa kabisa mkuu.Poa kbs how was ur Monday blood ?
Nimeuliza tuWapi nimesema ni ke?
Safari imekuwa ndefu kuliko safari ya UlayaMahali nilipofikia ni Kigoma Town network ipo swaaf na umeme pia
Kwahiyo nitakinukisha km kawa na kuwaletea mapichapicha
Kesho nataka niende kuKITWANGA ili niondoe uchovu wa safari ya masaa 34
![]()
![]()
... ....
Ni sawa na kutoka Mwanza kupita Kenya..Uganda hadi Sudani kwa treni....kweli Tz is bigSafari imekuwa ndefu kuliko safari ya Ulaya
Miss youKweli kabisa brother.
Niaje bro?
Habari za usiku wakuu.....k
kwema aje mkuu?
Kubwa sana nchi yetuNi sawa na kutoka Mwanza kupita Kenya..Uganda hadi Sudani kwa treni....kweli Tz is big
..........
Miss you too Jimena.Miss you
Nahisi tupo BIG 5 km sijakosea ...zingine ni Sauzi...DRC ..SudanKubwa sana nchi yetu
Ukikosa itabidi uhamie inakopatikanaMiss you too Jimena.
Mambo yamekuwa mengi sana.
Sukari haipatikani mtaani.