Mkuu zile notice zitahifadhiwa wapi? Maana sidhani kama kuna game hajwahi kuandika..
Jina lake maarufu hapa ni ungedere Ungabu,
Mi pia nikiona hizo picha za dizaini hiyo zote zikiwekwa huwa nacheka sanaaaaa
Kwenda zakoKocha alie ifikisha team nafasi ya 5 akabeba na FA anafukuzwa ana ajiliwa Kocha alieiacha team nafasi ya 16 teh teh huu ndo mpr bana una falsafa zake ukizichambua ukiwa na akili za kitwanga lazima uumbuke![]()
Anza kwanza ww
fc BARCELONAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
vuvuzela
Hahahaha
Hatareee hyooo
Kiboko ya Bashalonavuvuzela
Nawe pia mkuuUsiku mwema familia
GoodnightUsiku mwema familia
Aya ulale sasaGoodnight