Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
CHELSEA, UNITED ZAPIGANA VIKUMBO KWA MARTINEZ
.
Manchester United na Chelsea zinapambana kuipata huduma ya kipa wa Aston Villa na timu ya taifa ya Argentina, Emiliano Martinez, 30, katika dirisha hili la usajili barani Ulaya ili kwenda kuziba mapengo kwenye eneo hilo msimu ujao.
.
Chelsea inamtaka staa huyu akawe mbadala wa Eduardo Mendy aliyetimkia zake Saudi Arabia ambako anakwenda kukipiga katika timu ya Al Ahli, sawa na ilivyo kwa Man United ambayo inamtaka awe mbadala wa David de Gea ambaye dili lake na Mashetani hao wekundu wa Old Trafford linasuasua kukamilika.
.
Martinez amekuwa akihususishwa na timu nyingi kutokana na kiwango chake bora alichokionyesha kwenye fainali za Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar akiwa na timi ya taifa ya Argentina.
.
Manchester United na Chelsea zinapambana kuipata huduma ya kipa wa Aston Villa na timu ya taifa ya Argentina, Emiliano Martinez, 30, katika dirisha hili la usajili barani Ulaya ili kwenda kuziba mapengo kwenye eneo hilo msimu ujao.
.
Chelsea inamtaka staa huyu akawe mbadala wa Eduardo Mendy aliyetimkia zake Saudi Arabia ambako anakwenda kukipiga katika timu ya Al Ahli, sawa na ilivyo kwa Man United ambayo inamtaka awe mbadala wa David de Gea ambaye dili lake na Mashetani hao wekundu wa Old Trafford linasuasua kukamilika.
.
Martinez amekuwa akihususishwa na timu nyingi kutokana na kiwango chake bora alichokionyesha kwenye fainali za Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar akiwa na timi ya taifa ya Argentina.