Makapuku Forum

Makapuku Forum

Christine Karimi kutoka eneo la Rongai Kaunti ya Kajiado nchini Kenya amewaua watoto wake wawili na kumchoma visu mume wake kufuatia mzozo ulioibuka kati yake na mumewe.

Hata hivyo majirani wamekiambia kituo cha televisheni cha Citizen kwamba wanandoa hao walikuwa na mgogoro wa muda mrefu. Tukio hilo limetokea siku 3 zilizopita. Mwanamke huyo ambaye na yeye mwenyewe alijaribu kujiua kwa sasa amelazwa katika hospitali ya Kenyatta akiwa na hali mbaya.

Inadaiwa mabishano yaliibuka baada ya mume wa Christine kurudi nyumbani saa 7 usiku ndipo Christine alipolazimisha apewe simu asome meseji. Baada ya mume kukatalia simu Christine alienda jikoni kuchukua kisu na kisha kumchoma mumewe na kisha kwenda kuwachoma visu watoto wao waliokuwa wamelala na baadae kujichoma mwenyewe visu...!
Screenshot_20230612_194830_Instagram.jpg
 
Silvio Berlusconi amefariki dunia. Alikuwa Waziri Mkuu mstaafu wa Italy. Katika siasa za kileo za Italy ndie Waziri Mkuu aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani. Anaaminika kufanya mabadiliko makubwa katika siasa za Italy.

Katika uongozi wake Beluscon alikumbwa na kashfa mbalimbali ikiwemo rushwa,kufanya sex party pamoja na kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mwenye umri mdogo na kuhukumiwa kifungo cha jela hata hivyo hakutumikia kifungo hicho kutokana na kuwa na umri mkubwa.

Belusconi alikuwa tajiri wa kutupwa huko Italy ndie alikuwa mmiliki wa klabu ya mpira ya AC MILAN na kampuni kubwa la uwekezaji la Fininvest. Beluscon ana utajiri unaokadiriwa kufikia Shilingi Trilioni 15 za Kitanzania.

Belusconi amefariki akiwa na umri wa miaka 86. Belusconi ameacha mjane,Marta Fascina ambaye ana umri wa miaka 33, waliowana mwaka jana...!
Screenshot_20230612_220731_Instagram.jpg
 
Silvio Berlusconi amefariki dunia. Alikuwa Waziri Mkuu mstaafu wa Italy. Katika siasa za kileo za Italy ndie Waziri Mkuu aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani. Anaaminika kufanya mabadiliko makubwa katika siasa za Italy.

Katika uongozi wake Beluscon alikumbwa na kashfa mbalimbali ikiwemo rushwa,kufanya sex party pamoja na kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mwenye umri mdogo na kuhukumiwa kifungo cha jela hata hivyo hakutumikia kifungo hicho kutokana na kuwa na umri mkubwa.

Belusconi alikuwa tajiri wa kutupwa huko Italy ndie alikuwa mmiliki wa klabu ya mpira ya AC MILAN na kampuni kubwa la uwekezaji la Fininvest. Beluscon ana utajiri unaokadiriwa kufikia Shilingi Trilioni 15 za Kitanzania.

Belusconi amefariki akiwa na umri wa miaka 86. Belusconi ameacha mjane,Marta Fascina ambaye ana umri wa miaka 33, waliowana mwaka jana...!View attachment 2655444

Jaman beluscon umejua kuniliza
R.I.P classmate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom