Makapuku Forum

Samaki wa mchanga si ndio chamaki mchanga!!

Ndugu yangu dhamana uniwekee, siku hizi nina tabia za watu wa peponi.. 😂

Kidhati kabisa maisha bado hayajaanza kunitendea hakim, ila kwakua ni yangu unaishi nayo tu, Sina wa kumpa anishikie walau siku 3 hivi nipumue vema.
 
Binamu shikamoo
 
Nishapewa jin jipy?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…