duh, kumbe ndiyo iko hivi. Inaweza kuwa imetafsiriwa kutoka anga za Kanada na Marikani wanakowaita 'aliens'.
Kwa hiyo
Lee ni ajinabi hapa Bongo.
Makiwendo you are missed big time. Bado naendelea kuuliza kama TCRA wanawea kunipatia namba yako ya simu
Shunie mara zaote asante kwa magazeti na Je wajua
mkwepu jr popote ulipo kula chuma hicho, kivumbi leo , like-d the like
makaveli10 mdau veterani huna baya na mtu nakusalimia mwanaSimba
Makapuku, sehemu nzuri kabisa kuwepo sababu wewe upo