imeweka nguvu kutaka kumpata kocha mkuu wa Yanga, Mtunisia
Nasreddine Nabi.

alitaka kuondoka ili kupata maslahi bora zaidi kama ilivyo kwa Zanzibar finest anayepambania kuachana na mlo wa Ugari na sukari. 
Cheickna Diakite ‘Mbappe’ mwenye umri wa miaka 18 dhidi ya Yanga zimemfanya wakati wowote anaweza kuwa staa mpya wa Jangwani kwani kwa sasa amebakiza hatua moja tu za mechi ya marudiano Jumatano uwanja wa Mkapa.Huyo Katumbi atulie. Au akamchukue Mgunda 😅😅😅Taarifa zinaeleza klabu ya TP Mazembeimeweka nguvu kutaka kumpata kocha mkuu wa Yanga, Mtunisia
Nasreddine Nabi.
.
Tajiri Moise Katumbi wa TP Mazembe anadaiwa kumtaka kocha huyo baada ya kufanya usajili mkubwa ambao anaona bado haujazaa matunda kimataifa.
View attachment 2540002
Hapana acha amchukue nabi wenu anayemtakaHuyo Katumbi atulie. Au akamchukue Mgunda![]()
🤣🤣🤣Hujambo?Makubwaaaa usingeniita auntie woiiii ningejua tu new member hivi una nini lakini auntie
Mzee Mpili kashasema. Achaneni na Nabi, nendeni "dugo" (google) 😅😅😅Hapana acha amchukue nabi wenu anayemtaka
Sijambo bwanah una nini lakini ngoja kikuu wako aje ajue pisi mpyaHujambo?
Mzee Mpili kashasema. Achaneni na Nabi, nendeni "dugo" (google)![]()
Ila yule mzeeBongo kila mtu comedian 😅Ila yule mzee