Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20230227_051315_Opera%20Mini.jpg
 
1999- Steve McLaren anakuwa Kocha Msaidizi wa Sir Alex Ferguson na wanabeba makombe matatu msimu ule.

2008- Kocha Steve McLaren akiwa Kocha Mkuu, anamchukua Erik Ten Haag kama Msaidizi wake pale FC Twente.

2023- Erik Ten Haag anasherehekea ubingwa akiwa na Steve McLaren kama Msaidizi wake.
Screenshot_20230227_110553_Instagram%20Lite.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom