Utaingia peponi na kuanza kusema yoo!! Utafukuzwa, kunywa hata redbul uote mabawa.Ile ya kiba
Sa' binamu unacheka nini?! Au ume-mind nimetoa siri kwamba tulikuwa tuna-meet sana Mburahati getoni kwako?!Binamu nimekumiss mnooooila hiyo ya kunicheck mburahati kiukweli nimecheka sanaaaa ebu fanya ukujee tu tatizo binamu yangu siasani kunakuweka busy sanaaaa
Sa' binamu unacheka nini?! Au ume-mind nimetoa siri kwamba tulikuwa tuna-meet sana Mburahati getoni kwako?!
Ujue nitaandika tena kwa herufi kubwa, and bolded ili kama kuna kivulana chako hapa, basi kipate ujumbe kwamba huwa tunakutana!
My intention is clear... natamani uachike ili uwe wangu peke yangu, binamu! Matakwa ya aunt angu na uncle ako LAZIMA yaheshimiwe.
Its meAraaaa yuuuu yuuu?
Npo hapa shemelaAhsante shemela.
Ndugu yangu yuko wapi?
Shululu yupo kweli?Npo hapa shemela
Kumbe ukiachika, binamu yako si ndo napata fursa ya kuteleza na ganda la ndizi!! Mambo yakiwa magumu, jungu lililojaa fitina linaloruhisiwa kupika mtafaruku! Btw, sa' wewe hofu yako nini hata ukiachika?!Binamu niache bwana mburahati si ndio kwetu unataka niachike ili iweje tena jamani
Kumbe ukiachika, binamu yako si ndo napata fursa ya kuteleza na ganda la ndizi!! Mambo yakiwa magumu, jungu lililojaa fitina linaloruhisiwa kupika mtafaruku! Btw, sa' wewe hofu yako nini hata ukiachika?!