cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,130
ulipata pesa ukatusahauHabari za siku wapendwa nimerudi kuwasalimia nimewakumbuka mno makapuku wenzangu
Pesa wapi ndugu yangu,nilipumzika tuulipata pesa ukatusahau
...zilikuwa ni pesa za sensa ha ahahahahah (joke)ulipata pesa ukatusahau
...kicheko cha kuharibiana mafaili. Hakioneshi kutoa msaada hata kidogo kwa mimi ndugu yakoAloooohhivi nacheka ninii
...huyu ni aunt yangu kabisa lakini kuipata labda nikatambike, tuna ugomvi wa korosho. Nilimtumia kwa basi la Wifi Naye, dereva akampa bodaboda mzigo wote kumbe boda naye alikuwa na biashara ya kashata, korosho za zawadi akafanyia mtajiNimekuhamu pia Uncle...
He he he...Kwamba unataka kwenda 'Tisiaraei'wakupe namba Uncle
Check tu na Shunie amalize hiyo maneno...
Shikamoo binamu...zilikuwa ni pesa za sensa ha ahahahahah (joke)
Huyo mtoto mlito hajaacha kucheka...kicheko cha kuharibiana mafaili. Hakioneshi kutoa msaada hata kidogo kwa mimi ndugu yako
Eenh jamani kweli mwisho wa mwaka watu wanaonekana baada ya kutekwaHabari za siku wapendwa nimerudi kuwasalimia nimewakumbuka mno makapuku wenzangu
...kicheko cha kuharibiana mafaili. Hakioneshi kutoa msaada hata kidogo kwa mimi ndugu yako




Binamu niacheee
..tugange yajayo aunt, achana na mabaya yangu, tafuta lile moja zuri halafu ndiyo uliuze kwa Maki, yaani hilo zuri moja (kama lipo) lipeperushe kama shahada ya mama. na nikikubaliwa tu basi nakufanyia mchongo na wewe unapata PHD.Binamu niacheee
Phd ya mchongo binamu sitakiiiii..tugange yajayo aunt, achana na mabaya yangu, tafuta lile moja zuri halafu ndiyo uliuze kwa Maki, yaani hilo zuri moja (kama lipo) lipeperushe kama shahada ya mama. na nikikubaliwa tu basi nakufanyia mchongo na wewe unapata PHD.