Makapuku Forum

Makapuku Forum

Happy birthday auntie makiii Mungu wangu azidi kukubariki kwa kila unachofanya, na kukupa umri mrefu zaidi uje kuona wajukuu zako shunie mimi nakupenda sana Makiwendo
Oooooooh!!!
Auntie jamani...

Ahsante Auntie kipenzi...
Na Iwe hivyo IJN....Mungu na anipe umri mrefu kwa kweli... nione watoto wa watoto wangu.

Nakupenda tu.
 
Bora jf mmeturudishia notification kwenye app jamani toka may mtu hupati notification mbarikiwe
Hivi kumbe hili suala lilikua ni kwa wote, nilifikiri ni mimi tu labda kuna sehemu nili bofya nikaharibu settings za app yangu basi wamefanya la maana sana kweli leo ni siku kama ya 3 napata notifications zote za Jf kote niliko chungulia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom