Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Hahhaha uko pm unagawa niniCheupe karibu pm
Pole Auntie wangu....Nakupenda pia auntie yangusasa auntie leo mbona naona kama haitawezekana kesho asubuhi naingia kazini asubuhi mama si nitakuwa teja jamanii
![]()

Oooooooh!!!Happy birthday auntie makiiiMungu wangu azidi kukubariki kwa kila unachofanya, na kukupa umri mrefu zaidi uje kuona wajukuu zako
shunie mimi nakupenda sana
Makiwendo
Ahsante Shem lake...Happy birthday kwake......

Hahhaha uko pm unagawa nini





Yaaani...Bora jf mmeturudishia notification kwenye app jamani toka may mtu hupati notification mbarikiwe
Hivi kumbe hili suala lilikua ni kwa wote, nilifikiri ni mimi tu labda kuna sehemu nili bofya nikaharibu settings za app yanguBora jf mmeturudishia notification kwenye app jamani toka may mtu hupati notification mbarikiwe

basi wamefanya la maana sana kweli leo ni siku kama ya 3 napata notifications zote za Jf kote niliko chungulia.
Raha sana auntie wamejua kututesaPole Auntie wangu....
Naona watu wa App. Notifications zimerudi jamani....Raha siyo raha![]()
Ameen auntieOooooooh!!!
Auntie jamani...
Ahsante Auntie kipenzi...
Na Iwe hivyo IJN....Mungu na anipe umri mrefu kwa kweli... nione watoto wa watoto wangu.
Nakupenda tu.


Ahsante Shem lake...
Zawadi naichukulia wapi sasa?
Maaana mambo ni mengi na masaa ni machache![]()


Hata sijui nacheka nini
Yaani auntie nimeitwa kwa unyenyekevu sana
Hiyo msg ya kuitwa PM nimecheka Auntie..
Kwa kila mtu hili mkuuHivi kumbe hili suala lilikua ni kwa wote, nilifikiri ni mimi tu labda kuna sehemu nili bofya nikaharibu settings za app yangubasi wamefanya la maana sana kweli leo ni siku kama ya 3 napata notifications zote za Jf kote niliko chungulia.
Mwisho wa mwaka huu Auntie..Yaani auntie nimeitwa kwa unyenyekevu sana
Yaani auntie niacheee![]()



