Binafsi hiyo style hainivutii hata kidogo 😂Huku kwetu makumbusho wamejaaa jamani
Wenyewe wanazipenda sijui huwa wanajikuta nani na midevu yaoBinafsi hiyo style hainivutii hata kidogo![]()


ningekuwepo zama hizo hakika ningejuta kuwa na uchebe mimi
Nimekumiss pia Uncle wangu jamani....
Nakupenda Auntie...Asante binamu yangu kwa kushukuru, ngoja nimpigie simu makii nimpe ujumbe wako.
Nakupenda pia auntie yanguNakupenda Auntie...
Kesho simu ziite mapema basi lile jambo letu Mama...

sasa auntie leo mbona naona kama haitawezekana kesho asubuhi naingia kazini asubuhi mama si nitakuwa teja jamanii 

Asante sana kwa kushukuruAsante shunie kwa magazeti na Je Wajua
Ubarikiwe sana
Amen na kwako piaAsubuhi iwe njema kwa wanajumuiya wote wa Makapuku na Jamii Forum.
Mungu Yu Mwema. Tumkumbuke kwa Ibada

Amen.
Asubuhi iwe njema kwa wanajumuiya wote wa Makapuku na Jamii Forum.
Mungu Yu Mwema. Tumkumbuke kwa Ibada

Asante kwa kutukumbusha na kwako pia