Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20221017-035148_OGInsta%2B.jpg
 
TIMU ZILIZOFUZU HATUA YA MAKUNDI KLABU BINGWA AFRIKA.

Petro Atletico
Mamelodi Sundowns
Espérance Tunis
Raja CA
Zamalek SC
CR Belouizdad
Al Merreikh
Vipers SC
Al Ahly SC
JS Kabylie
Horoya AC
Wydad AC
Cotonsport FC
Al Hilal SC
Simba SC
RC Kadiogo /AS Vita Club
Screenshot_20221017-035739_OGInsta%2B.jpg
 
Nyota wa Senegal na Bayern Munich, Sadio Mane ametwaa tuzo ya Socrates akiwa pia ndie mchezaji wa kwanza kubeba tuzo hiyo ambayo inahusu mchezaji anayerejesha zaidi kwa jamii yake.
Screenshot_20221018-040659_OGInsta%2B.jpg
 
Kinda Gavi wa Barcelona ametwaa tuzo ya Kopa ikiwa ni tuzo kwa mchezaji mdogo kwa 2022, tuzo hiyo hutolewa kwa wachezaji wenye umri chini ya miaka 21.
Screenshot_20221018-040956_OGInsta%2B.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom